Makala hii imeangazia namna dunia ilivyoukaribisha mwaka mpya wa 2026, kampeni za uchaguzi wa mwezi huu nchini Uganda kushika kasi, siasa za Kenya: kiongozi wa chama cha ODM atangaza kuwa atagombea kiti cha urais mwaka ujao, hali ya mashariki mwa DRC, Israeli kulitambua eneo la Somaliland kama taifa huru,nchi kadhaa za Afrika zatangaza kuwazuia raia wa Marekani kuzuru nchi zao na mkutano wa rais wa Ukraine Volodmir Zelensky na rais wa Marekani Donald Trump
Podden och tillhörande omslagsbild på den här sidan tillhör
Unknown. Innehållet i podden är skapat av Unknown och inte av,
eller tillsammans med, Poddtoppen.