Matukio makubwa ya wiki hii ni pamoja na maadhimisho ya sikukuu ya krisimasi duniani mataifa kadhaa yakikabiliwa na shida za kiusalama, kasi ya kampeni za uchaguzi nchini Uganda, waasi wa AFC/M23 na mapigano yao mkowani Kivu kusini mashariki mwa DRC, kesi ya uhaini inayomkabili makamu wa kwanza wa rais wa Sudan Kusini Riek Macxhar kuahirishwa hadi January 06; mashambulizi ya vikosi vya Marekani dhidi ya wanamgambo wa Islamic State nchini Nigeria, na pia hali nchini Ukraine na Cambodia.
Podden och tillhörande omslagsbild på den här sidan tillhör
Unknown. Innehållet i podden är skapat av Unknown och inte av,
eller tillsammans med, Poddtoppen.