1 Wakorintho 3:12-15

12 Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri.

13 Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna gani.

14 Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu.

15 Kazi ya mtu ikiteketea, atapata hasara; ila yeye mwenyewe ataokolewa; lakini ni kama kwa moto.

Pia hapa kenye:

Apple Podcast:

https://podcasts.apple.com/dk/podcast/fuata-biblia-ikuongoze/id1329309738

Spotify Podcast:

https://open.spotify.com/show/63df4Xlq7snUoF99dXliMm

Podden och tillhörande omslagsbild på den här sidan tillhör FUATA BIBLIA. Innehållet i podden är skapat av FUATA BIBLIA och inte av, eller tillsammans med, Poddtoppen.