Je unajua unaweza ukawa mtu wa kiroho lakini ukawa humjui Mungu?

Kwenye neno hili utajifunza namna ambavyo mtu anaweza kuwa wa kiroho lakini hamjui Mungu.

Pia utajifunza vitu vya kufanya ili usije ukajikuta unakuwa mtu wa kiroho ambaye humjui Mungu.


1 Samuel 8: 1-10


Mungu aseme na wewe unaposikiliza Neno lake,

Amen!

Podden och tillhörande omslagsbild på den här sidan tillhör Luphurise Lema. Innehållet i podden är skapat av Luphurise Lema och inte av, eller tillsammans med, Poddtoppen.